Paps Mkare

SHOKA LAITOA JUVENTUS KUTOKA NAFASI YA UEFA HADI ‘MTAA WA SABA’

Klabu ya Juventus, Italia imepigwa shoka la alama kumi baada ya maamuzi mapya ya mahakama ya shirikisho la soka la Italia iliyoafiki ukweli wa uchunguzi kwamba miamba hao wa Serie A walihusika katika udanganyifu katika masuala ya mahesabu ya fedha kipindi cha uhamisho. Kutolewa kwa alama kumi kwa Juventus sasa kunaifanya klabu hiyo kukosa matumaini […]

SHOKA LAITOA JUVENTUS KUTOKA NAFASI YA UEFA HADI ‘MTAA WA SABA’ Read More »

TUKO NA IMANI NA GAVANA WA SASA KATIKA MICHEZO – MWABATI

Mwenyekiti wa klabu ya Young Bulls Jonson Mwambati amesema kwamba ako na matumaini makubwa na serikali ya kaunti ya kilifi katika kuimarisha michezo mashinani katika siku za usoni. Mwambati amesema kwamba kama wanamichezo katika kaunti ya kilfi wana matumaini makubwa na gavana wa sasa Gedion Maitha Mungaro kwamba atasaidia ukuaji wa talanta na michezo kupitia

TUKO NA IMANI NA GAVANA WA SASA KATIKA MICHEZO – MWABATI Read More »