SHOKA LAITOA JUVENTUS KUTOKA NAFASI YA UEFA HADI ‘MTAA WA SABA’
Klabu ya Juventus, Italia imepigwa shoka la alama kumi baada ya maamuzi mapya ya mahakama ya shirikisho la soka la Italia iliyoafiki ukweli wa uchunguzi kwamba miamba hao wa Serie A walihusika katika udanganyifu katika masuala ya mahesabu ya fedha kipindi cha uhamisho. Kutolewa kwa alama kumi kwa Juventus sasa kunaifanya klabu hiyo kukosa matumaini […]
SHOKA LAITOA JUVENTUS KUTOKA NAFASI YA UEFA HADI ‘MTAA WA SABA’ Read More »



