BENNI McCarthy KUJARIBIWA KESHO
Rais wa fkf hapa nchini Hussein Mohammed amewataka wachezaji walioteuliwa na mkufunzi Benni McCarthy kuipeperusha bendera ya Kenya vyema katika majukumu yao ya kitaifa watakapokuwa wanachuana na Gambia wiki hii kwenye mechi ya kutafuta tikiti ya kufuzu kwa kombe la dunia mwaka 2026. Hussein kupitia ukurasa wake rasmi wa facebook ametaja kuwa walifanya kikao cha […]
BENNI McCarthy KUJARIBIWA KESHO Read More »