MOTSEPE ACHAGULIWA TENA
Patrice Motsepe amechaguliwa tena kama rais wa shirikihso la soka barani Afrika CAF bila kupingwa kwenye zoezi la uchaguzi lililofanyika katika jiji la Cairo, Misri. Muhula huu ni wa pili kwa Motsepe mwenye umri wa miaka 63 ambaye alitangaza mwaka jana kuwa analenga kusimama tena kutetea kiti hicho mwaka huu. Mmiliki huyo wa klabu ya […]
MOTSEPE ACHAGULIWA TENA Read More »