Kimataifa

PEP GUARDIOLA KUKOSA MECHI MBILI ZA EPL

Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anatarajiwa kukosa mechi mbili zijazo baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mgongo wake hii leo. Pep Guardiola ambaye amekuwa akikabiliwa na maumivu ya mgongo kwa muda ameachiliwa na klabu yake kufanyiwa upasuaji. Kulingana na taarifa ambayo imeachiliwa na Manchster City leo ni kuwa Guardiola atakosa mechi ya Sheffield United pamoja …

PEP GUARDIOLA KUKOSA MECHI MBILI ZA EPL Read More »

MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA YAZIDI KURINDIMA KWA KINADADA

Mashindano ya kombe la dunia yameendelea na mechi tatu zimechezwa ambapo mapema leo  Italia wamesajili ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Argentina. Mechi nyingine ambayo imetamatika hivi punde ni ile ya Ujerumani dhidi ya Morocco. Ujerumani wamesajili ushindi wa mabao 5-0. Timu ya taifa ya Brazil imesajili ushindi wa mabao 4-0 …

MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA YAZIDI KURINDIMA KWA KINADADA Read More »