Mahakama ya Zamani ya Malindi KUBOMOLEWA
Wizara ya Utumishi wa Umma, Jinsia na Huduma za Jamii kwa ushirikiano na afisi ya Mbunge wa Malindi Amina Mnyazi yapendekeza kubomolewa kwa mahakama ya zamani eneo la Malindi kaunti ya Kilifi ili kujenga HUDUMA CENTER. Mwenyekiti wa idara ya HUDUMA KENYA nchini Benjamin Kai ameelezea kuridhia sehemu iliyochaguliwa kwa ujenzi wa kituo cha kutoa …