Kaunti

MAKABURI ZAIDI YATABULIWA KATIKA ENEO LA KWA BINZARO HAPA KAUNTI YA KILIFI.

Makaburi mengine saba, mafuvu, na mifupa ya binadamu  imepatikana  katika kijiji cha Kwa Binzaro  kaunti ya Kilifi . Afisa mkuu wa upelelezi kaunti ya Kilifi Robert Kiinge, amethibitisha matukio hayo huku akihofia  kwamba huenda  wafuasi wengi wa dhehebu potofu wamefariki katika eneo hilo. Kiinge amesema kuwa  makaburi hayo, niya  kina kifupi  mno  na waathiriwa walizikwa […]

MAKABURI ZAIDI YATABULIWA KATIKA ENEO LA KWA BINZARO HAPA KAUNTI YA KILIFI. Read More »

MWAKILISHI WADI ALIYE TIMULIWA BUNGENI KAUNTI YA TAITA TAVETA AELEKEA MAHAKAMANI KUTETEA NAFASI YAKE.

Mwakilishi wadi ya Ronge kaunti ya Taita Taveta, Dorcus Mlughu amepinga madai yaliyo ibuliwa dhidi yake na naibu spika kwa bunge la kaunti hiyo Anselm Mwadime, kuhusiana na hatua yake kutohudhuria vikao vinane vya bunge hilo. Kulingana na Mlughu, matamshi hayo sio ya kweli na tayari ameelekea mahakamani ili kupinga uamuzi wake, kubanduliwa katika nafasi

MWAKILISHI WADI ALIYE TIMULIWA BUNGENI KAUNTI YA TAITA TAVETA AELEKEA MAHAKAMANI KUTETEA NAFASI YAKE. Read More »