MAKABURI ZAIDI YATABULIWA KATIKA ENEO LA KWA BINZARO HAPA KAUNTI YA KILIFI.
Makaburi mengine saba, mafuvu, na mifupa ya binadamu imepatikana katika kijiji cha Kwa Binzaro kaunti ya Kilifi . Afisa mkuu wa upelelezi kaunti ya Kilifi Robert Kiinge, amethibitisha matukio hayo huku akihofia kwamba huenda wafuasi wengi wa dhehebu potofu wamefariki katika eneo hilo. Kiinge amesema kuwa makaburi hayo, niya kina kifupi mno na waathiriwa walizikwa […]
MAKABURI ZAIDI YATABULIWA KATIKA ENEO LA KWA BINZARO HAPA KAUNTI YA KILIFI. Read More »



