Kaunti

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YAELEZEA MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UHABA WA MAJI.

Serikali ya kaunti ya Kilifi inaendeleza ujenzi wa tanki lenye uwezo wa kuhifadhi lita milioni tano za maji, katika eneo la Mtepeni na lingine lenye uwezo wa kuhifadhi lita milioni 2.5 kule Rabai. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro, hatua hiyo ni njia mojawapo ya kusaidia wananchi katika kukabiliana na suala

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YAELEZEA MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UHABA WA MAJI. Read More »

WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA LAMU WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO BAADA YA SIKU SABA.

Wahudumu wa afya katika kaunti ya lamu wametoa makataa ya siku saba  kwa serikali ya kaunti ya Lamu, wakiitaka kushughulikia changamoto zote wanazopitia la sivyo watasusia kazi hadi pale matakwa yao yatakapo shughulikiwa. Aidha wamesema kuwa wanapitia changamoto nyingi katika kazi yao, hivyo kuitaka serikali ya Kaunti ya Lamu kuwaskiliza na kutekeleza wajibu wake. Wahudumu

WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA LAMU WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO BAADA YA SIKU SABA. Read More »