HABARI

DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA.

Wito umetolewa kwa bunge la seneti kusaidia serikali ya kaunti ya Kilifi kupokea malipo yake ya zaidi ya shilingi milioni mia tatu, kutoka kwa bima ya afya ya zamani NHIF na ile ya sasa ya SHIF. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro, licha ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi kuendelea kupokea […]

DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA. Read More »

SERIKALI KUU YATAKIWA KUWAPANDISHA VYEO POLISI KAUNTI YA LAMU.

Gavana wa Kaunti ya Lamu Isaa Abdallah Timammy amewataka maafisa wa polisi waliohudumu kwa muda mrefu Kaunti hiyo kuhamishwa. Timammy akidokeza kuwa maafisa hao, hupitia wakati mgumu, kwani wakati mwingi wamekuwa wakikabiliana na magaidi wa Alshabaab. Gavana huyo ameongeza kuwa maafisa hao wanafaa kupandishwa vyeo ili kunufaika na jitihada zao za kuhakikishia wananchi wa kaunti

SERIKALI KUU YATAKIWA KUWAPANDISHA VYEO POLISI KAUNTI YA LAMU. Read More »

KAMPUNI YA MAJI, MAWASCO YATAKIWA KUKABILIANA NA VISA VYA WIZI WA MAJI.

Kamati inayoangazia uwekezaji kwenye serikali za kaunti nchini katika bunge la seneti, imeelezea kuridhishwa na mikakati iliyowekwa na kampuni ya kusambaza maji eneo la Malindi, Mawasco, ili kuongeza mapato yake. Kulingana na mwenyekiti wa kamati hiyo, ambaye pia ni seneta wa kaunti ya Vihigha, Godfrey Osotsi, kampuni ya mawasco imeorodheshwa kuwa kati ya kampuni za

KAMPUNI YA MAJI, MAWASCO YATAKIWA KUKABILIANA NA VISA VYA WIZI WA MAJI. Read More »