GIDEON OYAGI AWAONYA MACHIFU KAUNTI YA KWALE
Kamishna wa kaunti ya Kwale Gideon Oyagi ametoa onyo kwa Machifu kwenye kaunti hiyo dhidi ya kile ambacho anadai kuwahangaisha wazazi ambao wanataka vyeti vya kuzaliwa za watoto wao. Kutokana na hilo sasa amewataka kuhakikisha wazazi wote ambao wanahitaji vyeti hivyo wanashughulikiwa kama inavyopaswa bila kuwahangaisha. Amesema ni jukumu la maafisa hao wa utawala kuhakikisha …