DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA.
Wito umetolewa kwa bunge la seneti kusaidia serikali ya kaunti ya Kilifi kupokea malipo yake ya zaidi ya shilingi milioni mia tatu, kutoka kwa bima ya afya ya zamani NHIF na ile ya sasa ya SHIF. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro, licha ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi kuendelea kupokea […]
DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA. Read More »