FKF KWALE KUANDAA SOKA LA UFUKWENI
Shirikisho la soka katika kaunti ya Kwale inalenga kuandaa mashindano yao ya kwanza ya soka la ufukweni mwaka 2025 Kulingana na taarifa ni kuwa kwa sasa usajili unaendelea kwa vilabu vya kaunti hiyo usajili ambao unatarajiwa kutamatika tarehe 25 mwezi huu. Hili likiwa ni tukio la hivi punde baada ya uzinduzi wa mashindano ya […]