Michezo

WITO WA KUSAJILI WACHEZAJI CHAPA DIMBA WATOLEWA KWALE

Wito umetolewa kwa timu za soka katika kaunti ya kwale kushirikiana na shirikisho la soka katika tawi la gatuzi hilo  kusajili wa wachezaji kwa ajili ya mashindano ya chapa dimba ambayo yatakuwa yanachezwa katika ngazi ya kaunti. Kulingana na taarifa iliyowasilishwa kwa vilabu na mkurugenzi mkuu wa FKF Kwale bwana Shaban Mwero ni kuwa vilabu …

WITO WA KUSAJILI WACHEZAJI CHAPA DIMBA WATOLEWA KWALE Read More »

PEP GUARDIOLA KUKOSA MECHI MBILI ZA EPL

Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anatarajiwa kukosa mechi mbili zijazo baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye mgongo wake hii leo. Pep Guardiola ambaye amekuwa akikabiliwa na maumivu ya mgongo kwa muda ameachiliwa na klabu yake kufanyiwa upasuaji. Kulingana na taarifa ambayo imeachiliwa na Manchster City leo ni kuwa Guardiola atakosa mechi ya Sheffield United pamoja …

PEP GUARDIOLA KUKOSA MECHI MBILI ZA EPL Read More »

MASHINDANO YA OMAR MSHAMU KUTOATHIRI LIGI ZA FKF MAGARINI

Shirikisho la soka katika eneo bunge la Magarini limethibitisha kuwa ujio wa mashindano ya Omar Mshamu Super Tournament hakutaathiri ligi za fkf katika eneo hilo. Kulingana na Julius Mweni ambaye ni mwenyekiti wa fkf tawi la eneo hilo amesema kwamba mechi zote za ligi ya fkf zitapewa kipaumbele tofauti na mashindano hayo. Mweni anasema kwamba …

MASHINDANO YA OMAR MSHAMU KUTOATHIRI LIGI ZA FKF MAGARINI Read More »