VILABU PWANI VIMELEMEWA
Changamoto za kifedha ndio jambo ambalo limechangia vilabu vingi vya pwani vinavyoshiriki ligi ya daraja la kwanza kushuka kiviwango msimu huu. Hiyo ni kulingana na msemaji lakini pia katibu mkuu wa Vilabu vya Malindi United lakini pia Malindi Progressive Academy Alex Jumba. Kulingana na Alex ni kuwa vilabu vya Pwani kama vile Young Bulls na […]