WITO WA KUSAJILI WACHEZAJI CHAPA DIMBA WATOLEWA KWALE
Wito umetolewa kwa timu za soka katika kaunti ya kwale kushirikiana na shirikisho la soka katika tawi la gatuzi hilo kusajili wa wachezaji kwa ajili ya mashindano ya chapa dimba ambayo yatakuwa yanachezwa katika ngazi ya kaunti. Kulingana na taarifa iliyowasilishwa kwa vilabu na mkurugenzi mkuu wa FKF Kwale bwana Shaban Mwero ni kuwa vilabu …
WITO WA KUSAJILI WACHEZAJI CHAPA DIMBA WATOLEWA KWALE Read More »