NAIBU WA RAIS ABRAHAM KINDIKI ATAYARISHA NJIA YA RAIS WILLIAM RUTO ENEO LA MLIMA KENYA.
Naibu rais Prof Kithure Kindiki amekagua miradi ya maendeleo inayoendelea katika kaunti ya Murang’a, kabla ya ziara ya rais William Ruto katika eneo hilo juma lijalo. Akizungumza katika eneo bunge la Mathioya, baada ya kukagua soko la Gikoe, pamoja na mradi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu, amesema kuwa licha ya kila mkenya kuwa […]
NAIBU WA RAIS ABRAHAM KINDIKI ATAYARISHA NJIA YA RAIS WILLIAM RUTO ENEO LA MLIMA KENYA. Read More »