Kitaifa

NAIBU WA RAIS ABRAHAM KINDIKI ATAYARISHA NJIA YA RAIS WILLIAM RUTO ENEO LA MLIMA KENYA.

Naibu rais Prof Kithure Kindiki amekagua miradi ya maendeleo inayoendelea katika kaunti ya Murang’a, kabla ya ziara ya rais William Ruto katika eneo hilo juma lijalo. Akizungumza katika eneo bunge la Mathioya, baada ya kukagua soko la Gikoe, pamoja na mradi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu, amesema kuwa licha ya kila mkenya kuwa […]

NAIBU WA RAIS ABRAHAM KINDIKI ATAYARISHA NJIA YA RAIS WILLIAM RUTO ENEO LA MLIMA KENYA. Read More »

GACHANGWA AWEKA WAZI NANI ATAKAYE KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHAKE.

Aliyekuwa naibu wa rais katika taifa hili Geoffrey Rigathi Gachagwa, ameendeleza kampeni zake dhidi ya rais William Ruto, wakati rais akitarajiwa kufanya ziara katika eneo la mlima kenya wiki ijayo. Gachangwa ameibua madai ya kuhadaiwa na rais William Ruto, kabla yake kuridhia mwaliko wa kujiunga na muungano wa Kenya kwanza na hata kupewa nafasi ya

GACHANGWA AWEKA WAZI NANI ATAKAYE KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHAKE. Read More »

WIZARA YA USALAMA YAPANIA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUFANIKISHA HUDUMA ZAKE KWA UMMA.

Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amesema kuwa serikali ya kitaifa inajitahidi katika kufanikisha suala utumizi wa teknolojia, kwenye idara ya polisi nchini. Murkomen amesema kuwa utumizi wa teknolojia ya mitandao mbali mbali kwenye idara hiyo, kutarahisishia shughuli za maafisa wa usalama kuhudumia wakenya. Akizungumza katika kikao na wanadau wa idara hiyo, waziri Murkomen

WIZARA YA USALAMA YAPANIA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUFANIKISHA HUDUMA ZAKE KWA UMMA. Read More »