Michezo

Ferdinand Omanyala /Picha Kwa hisani

OMANYALA AIBUKA BINGWA KWENYE MASHINDANO YA GRAND PRIX AFRIKA KUSINI

Ferdinand Omanyala alianza msimu wake vyema kwa kutumia muda wa sekunde 10.12 katika mkondo wa kwanza wa Msururu wa ASA Grand Prix nchini Afrika Kusini. Mwanariadha huyo mwenye kasi zaidi barani Africa aliongoza World Athletics Continental Tour kwenye Uwanja wa riadha wa Tuks mjini Pretoria Jumatano jioni. Omanyala aliwapiku washiriki 7 wengine japo hakuweza kufanikiwa […]

OMANYALA AIBUKA BINGWA KWENYE MASHINDANO YA GRAND PRIX AFRIKA KUSINI Read More »

MANCHESTER CITY YATIA GUU MOJA SEMUI FAINALI YA UEFA

Manchester City inayoongozwa na mkufunzi Pep Guardiola imetia guu moja ndani ya semi  fainali za uefa msimu huu baada ya kusajili ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya klabu ya Bayern Munich Katika uwanja wao wa nyumbani Etihad. Kiungo mhispania Rodri ndiye alikuwa wa kwanza kuifungia Manchester City kabla ya Bernado Silver kuitendea haki assist ya

MANCHESTER CITY YATIA GUU MOJA SEMUI FAINALI YA UEFA Read More »