Paps Mkare

BORUSSIA YANYATIA UBINGWA WA BUNDESLIGA HUKU BAYERN IKIMEZA MATE TU!

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Borrussia Dortmund kule Ujerumani mwite Edin Terzic anasema kwamba kurudi kwa Sebastian Haller baada ya kufanyiwa upasuaji ndio jambo linalozidi kuwapa Matumaini ya kunyanyua ubingwa wa Bundesliga msimu huu. Katika mechi ya jana Sebastian Haller ambaye ni raia wa Ivory Coast alipachika mabao mawili wavuni mabao yaliyosaidia kuipa Borrussia ushindi

BORUSSIA YANYATIA UBINGWA WA BUNDESLIGA HUKU BAYERN IKIMEZA MATE TU! Read More »