MANCHESTER CITY YASHINDA UBINGWA, KYLE WALKER AKITISHIA MASHETANI WEKUNDU
Klabu ya Manchester City ndio mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu 2022/2023 baada ya kusajili matokeo mazuri msimu huu. Licha ya kushinda 1-0 dhidi ya Chelsea katika mechi ya jana (Jumapili) Manchester City inayoongozwa na mkufunzi Pep Guardiola ilikuwa imetangazwa mabingwa baada ya washika mtutu wa London Arsenal kupoteza kwa Nottingham Forest 1-0. […]
MANCHESTER CITY YASHINDA UBINGWA, KYLE WALKER AKITISHIA MASHETANI WEKUNDU Read More »



