Paps Mkare

SAWA HATUSHINDI LIGI LAKINI GOR TUTAWARAMBA JUMAPILI – PATRICK AUSSEMS

Mkufunzi wa klabu ya AFC Leopards mwite Patrick Aussems anasema kwamba msimu huu matumaini yao ya kushinda ubingwa wa ligi kuu ya fkf primia league yamepotea ila watajitahidi kuandikisha matokeo mazuri dhidi ya Gor Mahia wikendi hii. mechi hiyo ambayo ni daby ya mahasimu hawa wa jadi itachezwa siku ya Jumapili katika uwanja wa Nyayo […]

SAWA HATUSHINDI LIGI LAKINI GOR TUTAWARAMBA JUMAPILI – PATRICK AUSSEMS Read More »

SANGO SPORTIFF YAZIDI KUANDIKISHA MATOKEO MAZURI KWENYE MSIMU WAO WA KWANZA DARAJA LA PILI

Mkufunzi wa klabu ya Sango Sportiff Righo Jillo amesema kwamba ana matumaini makubwa kuwa klabu hiyo inayoshiriki ligi ya daraja la pili kitaifa itazidi kuandikisha matokeo mazuri na hatimaye kupanda hadi daraja la kwanza mwisho wa msimu. Ameyasema hayo baada ya wikendi ilopita kusajili ushindi wa kishujaa dhidi ya klabu ya Beach Bay kutoka magarini

SANGO SPORTIFF YAZIDI KUANDIKISHA MATOKEO MAZURI KWENYE MSIMU WAO WA KWANZA DARAJA LA PILI Read More »