Paps Mkare

MALINDI PROGRESSIVE YAKAUKIWA NA USHINDI MECHI NNE MFULULIZO

Klabu ya Rainbow FC kutoka kaunti ya Nairobi imesajili ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Malindi Progrrssve katika uwanja wa Alaskan mechi ambayo imetamatika muda mfupi uliopita. Akizungumza baada ya mechi hiyo mkufunzi wa Rainbow fc Fred Mwaile amesema kwamba amefurahishwa na matokeo ya mechi hiyo ugenini licha ya mchezaji wake mmoja kupigwa kadi nyekundu […]

MALINDI PROGRESSIVE YAKAUKIWA NA USHINDI MECHI NNE MFULULIZO Read More »

MCHEZAJI WA KAMTONGA AENDELEA NA MATIBABU YA JERAHA LA MGUU

John King’oo ambaye ni nahodha wa klabu ya Kamtonga fc kutoka kaunti ya Taita Taveta inayoshiriki ligi ya daraja la pili kitaifa huenda akasalia mkekani kwa zaidi ya mwaka mmoja kutokana na jeraha alilopata mwezi machi mwaka huu alipovunjika mguu wake katika mechi dhidi ya klabu ya Yanga kutoka Malindi katika uwanja wa Alaskan ulioko

MCHEZAJI WA KAMTONGA AENDELEA NA MATIBABU YA JERAHA LA MGUU Read More »

ABABU ASHAURI KUBUNIWA KWA ‘ACADEMY’ KWENYE KILA TIMU MASHINANI

Waziri wa michezo hapa nchini Ababu Namwamba ametoa wito kwa viongozi wa mashirikisho ya soka katika ngazi tofauti tofauti hapa nchini kutoruhusu vilabu visiyokuwa na timu ya wachezaji wachanga maarufu kama ‘academy’ kushiriki ligi zao kama njia moja ya kuhamasisha umuhimu wa kukuza vipaji katika umri mdogo ambao baadaye watasaidiwa na serikali. Kama wizara ya

ABABU ASHAURI KUBUNIWA KWA ‘ACADEMY’ KWENYE KILA TIMU MASHINANI Read More »