HABARI

MASHABIKI WA SOKA KURAHISISHIWA VAR

Bodi ya kimataifa ya chama cha soka ya IFAB inayohusika na sheria za kandanda imependekeza kuwepo kwa mawasiliano kwenye viwanja kuhusu uamuzi wa video ili mashabiki wajue kinachojadiliwa na maafisa wa VAR kabla maamuzi kufanyika wakati wa mechi. Hii inatokana na sintofahamu miongoni mwa mashabiki kila ambapo matukio mbali mbali yanatokea na mwamuzi pekee ndiye […]

MASHABIKI WA SOKA KURAHISISHIWA VAR Read More »

ADEBAYOR AMSIFIA MATASI BAADA YA KUONA MECHI

Fowadi wa zamani wa klabu ya Arsenal lakini pia Manchester City Emmanuel Adebayor ambaye yupo nchini kwa ziara ya kibiashara amepongeza hatua zilizochukuliwa na serikali ya kenya kurudisha ushwari wa soka hapa nchini muda mchache baada ya marufuku ya soka kuondolewa na shirikisho la soka Fifa. Alikuwepo uwanjani jana kushughudia mechi ya Tusker dhidi Talanta

ADEBAYOR AMSIFIA MATASI BAADA YA KUONA MECHI Read More »