HABARI

TAKRIBANI MICHE 500 INATARAJIWA KUPANDWA KWENYE SHAMBA LA AKAMBA HANDCRAFT KAUNTI YA MOMBASA

Mwakilishi wa wadi ya kipevu kaunti ya Mombasa Leila Nyache ameshirikiana na machifu, wazee wa mitaa na mabalozi wa nyumba kumi kwenye zoezi la upanzi wa miti ndani ya shamba la AKAMBA HANDCRAFT eneo bunge la changamwe kaunti hiyo ya Mombasa. Akiongea na wanahabari wakati wa zoezi hilo leila amesema wanapania  kupanda miti mia tano […]

TAKRIBANI MICHE 500 INATARAJIWA KUPANDWA KWENYE SHAMBA LA AKAMBA HANDCRAFT KAUNTI YA MOMBASA Read More »

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KCSE KUTANGAZWA LEO

Waziri wa elimu nchini Ezekiel Machogu anatarajiwa leo kutangaza rasmi matokeo ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne KCSE. Kulingana na taarifa hafla ya kuyatangaza matokeo hayo imeratibiwa kuanza mwendo huu wa saa mbili asubuhi katika makao makuu ya baraza la kitaifa la mitihani KNEC jijini Nairobi. Zoezi la kusahisisha ilitamatika wiki jana baada

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KCSE KUTANGAZWA LEO Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA WATU WA KWALE KUTOKUTENGANA KWA MISINGI YA DINI

Kiongozi wa vijana katika kaunti ya Kwale, Hafswa Mohamed amesisitiza haja ya wakaazi kujumuika na kushirikiana pasipo kutengana kwa misingi ya kidini. Hafswa amesema baadhi ya dhana potovu zilizopo katika dini huchangia mgawanyiko baina ya wakaazi kwani kupitia dhana hizo utengano hudhihirika miongoni mwa wanajamii. Kiongozi huyo amesema kuwa viongozi wa dini pia wanapaswa kuwa

HIMIZO LATOLEWA KWA WATU WA KWALE KUTOKUTENGANA KWA MISINGI YA DINI Read More »