KINADADA WASHAURIWA KUJIHUSISHA NA MICHEZO KILIFI
Ukosefu wa fedha za kuendesha shuhuli za michezo katika klabu ndio sababu kuu inayochangia klabu ya kinadada ya Malindi Starlets kusalia katika ligi ya mkoani kwa misimu miwili mfululizo bila kupanda. Akizungumza na tama la spoti jioni ya leo katika uwanja wao wa mazoezi wa Alaskan mjini Malindi, Neema Charo ambaye ni mkufunzi wa kinadada […]
KINADADA WASHAURIWA KUJIHUSISHA NA MICHEZO KILIFI Read More »



