IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI
Asilimia kubwa ya vijana kaunti ya Taita Taveta hukosa kujiunga na vyuo vikuu na vyuo kiufundi baada ya kukamilisha kidato cha nne. Haya ni kwa mujibu wa naibu gavana kaunti hiyo Christine Kilalo ambaye amesema kuwa idadi hiyo kubwa hushindwa kujiendeleza kimasomo kufuatia ukosefu wa karo. Kilalo sasa amewashauri vijana hao waliomaliza kidato cha nne […]
IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI Read More »



