WACHEZAJI WAMEOLEWA, TUNATAFUTA WACHEZAJI WENGINE – JOYCE UNDA
Mkufunzi mkuu wa Kilifi Starlets Joyce Unda anasema sasa wanalenga kutafuta wachezaji wapya katika klabu hiyo ili kuchukua nafasi ya wachezaji walioondoka kujitafutia ajira na wengine kuolewa baada ya likizo ndefu msimu jana ulipotamatika. Klabu hiyo iliyopanda daraja hadi ligi ya mkoa imekosa wachezaji wa kutosha kuchezea klabu hiyo kutokana na hali ya uchumi na […]
WACHEZAJI WAMEOLEWA, TUNATAFUTA WACHEZAJI WENGINE – JOYCE UNDA Read More »



