UKOSEFU WA MAJI SAFI KWA MUDA MREFU WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA KINANGO
Wakaazi wa Kinango kaunti ya Kwale wamelalamikia ukosefu wa maji safi kwa muda wa miezi mitano mtawalia. Wakaazi hao wakiongozwa na Hamisi Mzungu wamewakosoa wasimamizi wa bodi ya usambazaji maji pwani sambamba na kampuni ya usambazaji maji kaunti hiyo ya Kwale Kwawasco. Wamesema wanapaswa kutafutiwa mwafaka wa haraka wakieleza kusikitishwa na swala kuwa chemchemi ya […]
UKOSEFU WA MAJI SAFI KWA MUDA MREFU WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA KINANGO Read More »



