HABARI

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ASEMA KUNA HAJA YA WAKULIMA WA KAKUYUNI KUWEZESHWA

Ipo haja ya wakulima katika wadi ya Kakuyuni eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi kuwezeshwa, ili kuhakikisha wanapata mazao bora katika mashamba yao. Ni kauli ya mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi, Amina Mnyazi ambaye amesema matatizo mengi katika eneo hilo, yatapata suluhu iwapo wananchi watakuwa na vyakula vya kutosha kutokana na kilimo wanachofanya. […]

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ASEMA KUNA HAJA YA WAKULIMA WA KAKUYUNI KUWEZESHWA Read More »

MCHUNGAJI SAMWEL MATIKO ATILIA SHAKA TAKWIMU KUTOKA SHIRIKA LA KITAIFA LA UTAFITI

Mchungaji wa kanisa la Ocean Assemblies  mjini Malindi kaunti ya Kilifi Samuel Matiko, ametilia shaka takwimu za shirika la utafiti la KENYA BUREAU OF STATISCS, kuhusiana na ongezeko la idadi ya watu wanaoshiriki ngono nje ya ndoa. Akizungumza na mwanahabari wetu mchungaji huyo amesema kuwa licha ya kuwepo kwa visa hivyo, huenda ikawa utafiti huo

MCHUNGAJI SAMWEL MATIKO ATILIA SHAKA TAKWIMU KUTOKA SHIRIKA LA KITAIFA LA UTAFITI Read More »

SIONDOKI LIVERPOOL HIVI KARIBUNI – KLOPP

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amesema hana mpango wa kuondoka klabu hiyo kwa hivi sasa pamoja na kwamba timu hiyo imekuwa haifanyi vizuri. Kocha huyo raia wa Ujerumani amesema anaweza kuondoka tu Liverpool kama atalazimishwa kufanywa hivyo lakini vinginevyo hana huo mpango. Maneno hayo yanatokea kwenye kipindi ambacho Liverpool wanashika nafasi ya

SIONDOKI LIVERPOOL HIVI KARIBUNI – KLOPP Read More »