HABARI

MASHINDANO YA GOVERNOR’S CUP YAMETUATHIRI

Mkufunzi wa klabu ya Silver Bullets Sammy KARISA anasema kuwa kucheleweshwa kwa kupewa zawadi za governors cup kwa washindi wa mashindano hayo kumewaathiri pakubwa. Anasema wale ambao walikuwa wakiwasaidia kifedha wamejiondoa kutokana na tetesi kuwa walipewa pesa hizo kisiri kaama viongozi. Anasema yeye kama kocha alikuwepo katika kikosi cha Junju kama mshauri tu wa benchi

MASHINDANO YA GOVERNOR’S CUP YAMETUATHIRI Read More »

KENYA POLICE FC KUVAANA NA KCB KATIKA FAINALI YA FKF CUP

Kenya Police itakutana na KCB katika fainali ya kombe la FKF mwezi ujao, baada ya kuwalaza AFC Leopards 1-0 katika mechi yao ya nusu fainali. Mechi hiyo ilichezwa Jumapili alasiri lakini ilisitishwa dakika ya 60 kutokana na sababu za kiusalama baada ya kushuhudiwa vurugu baina ya mashabiki, huku shirikisho hilo likiamuru mchezo wa dakika zilizobaki 

KENYA POLICE FC KUVAANA NA KCB KATIKA FAINALI YA FKF CUP Read More »