HABARI

GAVANA WA MOMBASA APUUZA KAULI YA MKAGUZI WA BAJETI NCHINI MARGARET NYAKANG’O.

Gavana wa kaunti ya Mombasa, Abdulswamaad Sharrif Nassir amekashifu vikali hatua ya mkaguzi mkuu wa bajeti Magaret Nyakang’o kuwataja magavana nchini kusitisha shughuli za utoaji wa basari. Kwa mujibu wa Shariff, serikali za kaunti zinapaswa kupewa nafasi ya kutumikia wananchi wake hasa katika masuala ya kufadhili elimu ya wanafunzi wanaotoka familia zisizo kuwa na uwezo […]

GAVANA WA MOMBASA APUUZA KAULI YA MKAGUZI WA BAJETI NCHINI MARGARET NYAKANG’O. Read More »

ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA AENDELEZA MIKAKATI YA KUANZISHA CHAKE CHA KISIASA.

Aliyekuwa naibu wa Rais Rigathi Gachagwa amesema kuwa anaendeleza mipango ya kubuni chama chake cha kisiasa kitakacho jumuisha viongozi mbali mbali wa taifa hili. Gachagwa ambaye alikuwa akizungumza katika kaunti ya Laikipya, amesema kuwa bado anayeendelea kupokea maoni kutoka kwa wakenya, kuhusiana na kubuniwa kwa chama hicho. Kulingana na Gachagwa chama hicho kitatumika kutetea maslahi

ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA AENDELEZA MIKAKATI YA KUANZISHA CHAKE CHA KISIASA. Read More »