WAKENYA WASISITIZWA KUJISAJILI KWA BIMA YA SHA.
Wakenya wameendelea kusisitizwa kujisaji kwenye bima mpya ya SHA, ili kusaidia serikali kuendeleza mipango ya kuboresha huduma za afya nchini. Kwa mujibu wa rais William Ruto, serikali ya kitaifa inategemea pakubwa deta za wizara ya afya, hasa kuhusiana na idadi ya wakenya katika maeneo mbali mbali ya taifa, ili kuboresha miundo msingi ya afya. Akizungumza […]
WAKENYA WASISITIZWA KUJISAJILI KWA BIMA YA SHA. Read More »



