HABARI

WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA LAMU WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO BAADA YA SIKU SABA.

Wahudumu wa afya katika kaunti ya lamu wametoa makataa ya siku saba  kwa serikali ya kaunti ya Lamu, wakiitaka kushughulikia changamoto zote wanazopitia la sivyo watasusia kazi hadi pale matakwa yao yatakapo shughulikiwa. Aidha wamesema kuwa wanapitia changamoto nyingi katika kazi yao, hivyo kuitaka serikali ya Kaunti ya Lamu kuwaskiliza na kutekeleza wajibu wake. Wahudumu

WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA LAMU WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO BAADA YA SIKU SABA. Read More »

WAFUASI WA ALIYEKUWA WAZIRI WA JINSIA NA UTAMADUNI AISHA JUMWA WAPONGEZA UTEUZI WAKE KWENYE BODI YA BARABARA NCHINI.

Baadhi ya wandani wa mwanasiasa Aisha Jumwa wamepongeza hatua ya rais William Ruto kumteua kiongozi huyo kuwa mwenyekiti wa bodi ya barabara humu nchini. Wakiongozwa na Abdrahman Omar, wamemtaja Rais Ruto kuwa kiongozi ambaye anayejali wakaazi wa kaunti za Pwani kutokana na hatua yake kumteua Jumwa kwenye wadhifa huo. Wakizungumza na wanahabari hapa mjini Malindi

WAFUASI WA ALIYEKUWA WAZIRI WA JINSIA NA UTAMADUNI AISHA JUMWA WAPONGEZA UTEUZI WAKE KWENYE BODI YA BARABARA NCHINI. Read More »