HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YAELEZEA MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UHABA WA MAJI.

Serikali ya kaunti ya Kilifi inaendeleza ujenzi wa tanki lenye uwezo wa kuhifadhi lita milioni tano za maji, katika eneo la Mtepeni na lingine lenye uwezo wa kuhifadhi lita milioni 2.5 kule Rabai. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro, hatua hiyo ni njia mojawapo ya kusaidia wananchi katika kukabiliana na suala

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YAELEZEA MIKAKATI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UHABA WA MAJI. Read More »

KATIBU WA WIZARA YA AFYA MARY MUTHONI AWATA WANAWAKE KUFANYIWA UKAGUZI WA SARATANI YA KIZAZI.

Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza na kufanyiwa uchunguzi dhidi ya Saratani ya Kizazi. Akitoa wito huo, katibu katika wizara ya afya nchini Mary Muthoni, amesema kuwa wasichana walio chini ya umri wa miaka 15, wanapaswa kupewa chanjo ya HPV, iliyo na uwezo wa kuwakinga dhidi ya maradhi ya Saratani ya kizazi. Akizungumza katika kikao na

KATIBU WA WIZARA YA AFYA MARY MUTHONI AWATA WANAWAKE KUFANYIWA UKAGUZI WA SARATANI YA KIZAZI. Read More »