POLISI KAUNTI YA MOMBASA WANASA BANGI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 2.1.
Polisi mjini Mombasa wanamzuilia mwanamke mmoja alikamatwa akiwa na dawa za kulevya ambazo ni pamoja na misokoto 909 ya bangi yenye thamani ya takribani million 2.1. Kulingana na kamanda wa polisi eneo bunge la likoni, Georfrey Ruheni mwanamke huyo alikamatwa Katika kivuko cha likoni, akijaribu kuvukisha bangi hiyo kutoka Mombasa mjini akielekea Likoni. Ruhein aidha […]
POLISI KAUNTI YA MOMBASA WANASA BANGI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 2.1. Read More »



