Kaunti

SERIKALI YA KAUNTI YA NAIROBI YAAHIDI KUJENGA SOKO ENEO LA SOUTH B.

Serikali ya kaunti ya Nairobi itajenga soko jipya eneo la South B kaunti ya Nairobi, ili kuwaondoa wachuuzi ambao wamekuwa wakifanyia biashara zao kando kando mwa barabara. Ujenzi huo wa soko unatarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 350. Akihutubia wafanyabiashara katika eneo hilo, mwakilishi wadi hiyo ya South B, Waithera Chege amesema kuwa hatua hiyo […]

SERIKALI YA KAUNTI YA NAIROBI YAAHIDI KUJENGA SOKO ENEO LA SOUTH B. Read More »

SOKA LA LAMU LALIA

Huenda hali ya soka katika kaunti ya Lamu ikazidi kuwa mbaya kutokana na kusambaratika kwa utendakazi wa shirikihso la soka la fkf katika gatuzi hilo. Vilabu vingi  vya soka Lamu vimeshindwa kuendelea na mashindano ya shirikihso kutokana na gharama kubwa ya kusimamia mechi zao. Hivi punde zaidi ni klabu ya Deep Sea na King Loyal

SOKA LA LAMU LALIA Read More »

WATOTO WA GREDI YA 6 KAUNTI YA KILIFI WADAIWA KUTOJUA KUSOMA NA KUANDIKA.

Imebainika kuwa idadi kubwa ya watoto walio gredi ya 6 na zaidi katika shule za umma kaunti ya Kilifi, hawajui kusoma na kuandika. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa elimu kaunti ya Kilifi, Felkin Kaingu ambaye ameelezea kusikitishwa na hatua hiyo, ambayo ametaja kuwa chanzo cha kaunti ya Kilifi kusalia nyuma kielimu. Waziri Kaingu

WATOTO WA GREDI YA 6 KAUNTI YA KILIFI WADAIWA KUTOJUA KUSOMA NA KUANDIKA. Read More »