KAMISHNA WA KWALE AWAONYA WENYEJI DHIDI YA KUNYAKUA ARDHI ZANAZOMILIKIWA NA SERIKALI
Kamishna wa kaunti ya Kwale Gideon Oyagi amewaonya wakaazi wanaonuia kunyakua ardhi zinazomilikiwa na serikali akisema watakaopatikana watakabiliwa kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika kaunti ndogo ya Shimba Hills kaunti ya Kwale, Oyagi amesema kwa sasa wakaazi wengi wa eneo hilo wamekuwa wakidumisha ushirikiano na serikali ya kaunti kwa kulinda ardhi zinazomilikiwa na serikali. Oyagi […]
KAMISHNA WA KWALE AWAONYA WENYEJI DHIDI YA KUNYAKUA ARDHI ZANAZOMILIKIWA NA SERIKALI Read More »


