Kaunti

GAVANA ANDREW MWADIME ATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI YA MAENDELEO AMBAYO HAIKUMALIZWA NA MTANGULIZI WAKE

Gavana wa kaunti ya Taita  Taveta Andrew Mwadime ametakiwa kuhakikisha kuwa anakamilisha miradi ya maendeleo ambayo haikukamilika wakati wa gavana aliyeondoka Granton Samboja. Wanaharakati wa kijamii wakiongozwa na Juma Kombora wametoa shinikizo hizo kwa gavana Mwadime wakisema kuwa miradi hiyo ilipania  kuwanufaisha wananchi hivyo ni sharti imalizwe. Kombora amesema kuwa miradi hiyo pia inapaswa kutengewa […]

GAVANA ANDREW MWADIME ATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI YA MAENDELEO AMBAYO HAIKUMALIZWA NA MTANGULIZI WAKE Read More »

SHEIKH OMAR TWAHA AWATAKA WABUNGE WA AZIMIO KUUNGANA PAMOJA

Kiongozi wa chama cha wiper katika kaunti ya mombasa Sheikh Omar Twaha amewashinikiza wabunge wa Azimio la Umoja One Kenya katika bunge la kitaifa na lile la seneti kuhakikisha wanaungana kwa pamoja na kuwachagua viongozi wa mrengo huo wanaowania wadhifa wa uspika. Sheikh Twaha ameweka wazi kuwa mrengo wa Azimio umemuidhinisha aliyekuwa spika Kenneth Marende

SHEIKH OMAR TWAHA AWATAKA WABUNGE WA AZIMIO KUUNGANA PAMOJA Read More »