JIMMY KAHINDI AWASHAURI WANOTAKA KUWANIA WADHIFA WA USPIKA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI KUJIANDAA
Spika anayeondoka mamlakani katika bunge la Kaunti ya Kilifi Jimmy Kahindi, amewashauri wale wanaotaka kuwania wadhifa huo kuhakikisha kuwa wako tayari, kukabiliana na changamoto zinazo andamana na majukumu ya wadhifa huo. Haya yanajiri siku chache baada ya kiongozi huyo kuweka wazi kuwa hatawania wadhifa huo kwa awamu ya tatu, tangu ujio wa serikali za kaunti […]



