GAVANA WA LAMU AMEAHIDI KUBORESHA KISIWA CHA LAMU
Serikali ya kaunti ya Lamu imeeleza kuwepo kwa mikakati ya kukabiliana na hali ya kutapakaa kwa vinyesi vya Punda katika baadhi ya miji ya kaunti hiyo. Kulingana na Gavana wa kaunti hiyo Issa Abdalla Timamy wana mpango wa kutengeneza kiwanda kitakachobadilisha kinyesi hicho na kuwa makaa yanayoweza kutumika katika masuala ya upishi. Gavana huyo amesema […]
GAVANA WA LAMU AMEAHIDI KUBORESHA KISIWA CHA LAMU Read More »



