Kaunti

WENYEJI WA KWALE WAHIMIZWA KUJIEPUSHA NA MATAPELI

Afisa mkuu wa usalama eneo bunge la Msambweni kaunti ya Kwale Kipkoech Loitiatia amewataka wenyeji kujiepusha na matapeli wa fedha kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza na wenyeji wa Msambweni, Lotiatia amesema kuna ongezeko la visa vya utapeli wa fedha kupia njia za simu katika eneo hilo. Kutokana na kushuhudiwa kwa visa hivyo, Lotiatia sasa amezitaka […]

WENYEJI WA KWALE WAHIMIZWA KUJIEPUSHA NA MATAPELI Read More »

TEDDY MWAMBIRE AJIPIGIA UPATE KWENYE KIPUTE CHA KUWANIA WADHIFA WA USPIKA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI

Mwenyekiti wa chama cha ODM kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire, amesema yuko na tajiriba ya kuliongoza bunge la kaunti ya Kilifi kama spika . Kulingana na Mwambire ambaye anawania wadhifa huo anadai kufanya kazi mbalimbali  na ana uwezo wa kuliongoza bunge hilo katika kuweka mikakati ya kuwahudumia wakazi wa kaunti ya  Kilifi. Mwambire amesema ana

TEDDY MWAMBIRE AJIPIGIA UPATE KWENYE KIPUTE CHA KUWANIA WADHIFA WA USPIKA KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI Read More »

SENETA MOHAMED FAKI AMEAHIDI KUIWAJIBISHA SERIKALI YA MOMBASA

Seneta wa kaunti ya Mombasa Mohammed Faki, ameahidi kutekeleza maendeleo kwa wakaazi wa kaunti hiyo, kupitia kwa serikali ya kaunti. Kulingana na Faki atahakikisha serikali ya kaunti ya Mombasa, inazingatia sheria za utekelezwaji wa maendeleo kwa wananchi kwa mujibu wa katiba. Akizungumza katika kaunti hiyo, Faki amewataka wananchi kutohofia suala lolote katika masuala ya uongozi

SENETA MOHAMED FAKI AMEAHIDI KUIWAJIBISHA SERIKALI YA MOMBASA Read More »