WILLIAM SAMOEI KIPCHIRCHIR ARAP RUTO AMEAPISHWA KUWA RAIS WA TANO WA KENYA
Sasa ni rasmi kuwa rais wa tano wa Kenya ni William Samoei Kipchirchir Arap Ruto. Rais Ruto atakuwa rais wa tano wa Kenya baada ya kuapishwa rasmi mbele ya umma kwenye uwanja wa Kasarani jijini Nairobi. Rais Ruto amekabidhiwa zana za utawala ambazo ni nakala ya katiba ya sasa na kitara cha kijeshi na rais […]
WILLIAM SAMOEI KIPCHIRCHIR ARAP RUTO AMEAPISHWA KUWA RAIS WA TANO WA KENYA Read More »



