Kaunti

JOHN KIPSIWA AWAHIMIZA WENYEJI WA TANA DELTA KUDUMISHA AMANI

Naibu kamishna kaunti wa Tana river, John Kipsiwa amewashinikiza wanajamii Tana delta kubuni sera za maelewano baina yao kwa minajili ya kudhibiti mizozo kati yao hasa wakulima na wafugaji. Akizungumza katika mkutano uliowaleta viongozi wa serikali kuu, serikali ya kaunti na mashirika mbalimbali, Kipsiwa amesema mizozo ya mara kwa mara baina ya wafugaji na wakulima […]

JOHN KIPSIWA AWAHIMIZA WENYEJI WA TANA DELTA KUDUMISHA AMANI Read More »

Mwenyekiti wa shirika la usalama Tana River peace reconciliation and development, (TRPRD) kaunti ya Tana River Harrison Moroa amesema hali ya kiangazi katika kaunti ya Tana River ni ya kutiliwa hofu mno. Akizungumuza katika kikao cha kutathmini athari ya hali ya kiangazi eneo la Tana Delta, Moroa amewataka wakazi wa Tana River kudumisha amani wakati

Read More »