Kaunti

MAJAJI SITA WALIOTEULIWA MIAKA MITATU ILIYOPITA KUAPISHWA

Rais William Ruto anatarajiwa kuwaapisha majaji wanne miongoni mwa majaji sita walioteuliwa miaka mitatu iliyopita baada ya kuwaidhinisha hapo jana. Kwenye hotuba yake ya kwanza kufuatia kuapishwa kwake kuwa rais wa taifa hili, Rais Ruto alihoji kuwa hafla hiyo ya kuapisha majaji hao itafanyika katika ikulu ya Nairobi. Majaji hao ni pamoja na Aggrey Muchelule, […]

MAJAJI SITA WALIOTEULIWA MIAKA MITATU ILIYOPITA KUAPISHWA Read More »

WENYEJI WA KAUNTI YA KILIFI WAONYWA DHIDI YA MAWAKALA MATAPELI

Wenyeji wa kaunti ya Kilifi na Pwani kwa jumla wametakiwa kuwafahamu vyema mawakala wanaowasadia kupata ajira katika mataifa ya Ughaibuni, ili kurahisisha shughuli za kupata usaidizi kila wanapokuwa katika mataifa hayo. Wakiongozwa na mwaharakati wa shirika la kuteteta haki za kibinadam la MUHURI, Afia Swaleh amesema kumekuwa na mawakala wengi ambao ni matapeli kwani hawana

WENYEJI WA KAUNTI YA KILIFI WAONYWA DHIDI YA MAWAKALA MATAPELI Read More »

MUUNGANO WA WASIMAMIZI WA MADEREVA WA MALORI YA MASAFA MAREFU WATOA LALAMA ZAO

Naibu katibu wa muungano wa wasimamizi wa madereva wa malori ya masafa marefu kaunti ya Mombasa Ahmed Omar amemtaka rais William Samoei Ruto kushugulikia matatizo wanayopitia madereva katika kutekeleza shughuli za kusafirisha mizigo kwenye maeneo mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Akiongea na wanahabari Omar amesema kumekuwa na utovu wa usalama katika barabara kama

MUUNGANO WA WASIMAMIZI WA MADEREVA WA MALORI YA MASAFA MAREFU WATOA LALAMA ZAO Read More »