MWENYEKITI WA NPSC ELIUD KINUTHIA AMPONGEZA RAIS WILLIAM RUTO
Hatua ya rais William Ruto kutia sahihi kanuni itakayomwezesha inspekta jenerali wa polisi kukadiria na kuelekeza matumizi ya fedha katika idara hiyo itaimarisha hali ya usalama nchini na kuinua hadhi ya maafisa wa polisi. Wachambuzi wa masuala ya uongozi wanasema kuwa hatua hiyo ambayo ilitarajiwa na watunzi wa katiba ilicheleweshwa kwa muda wa miaka 12. […]
MWENYEKITI WA NPSC ELIUD KINUTHIA AMPONGEZA RAIS WILLIAM RUTO Read More »



