BAA LA NJAA LAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA MRIMA WA NDEGE KAUNTI YA KILIFI
Chifu wa eneo la Mrima wa Ndege wadi ya Sokoke kaunti ya Kilifi Samson Karisa anasema kuna haja ya msaada wa dharura wa chakula cha msaada kupelekewa wakazi wa sehemu hiyo. Kulingana na Karisa wakazi wa sehemu hiyo wanaendelea kuteseka kutokana na njaa, kwasababu ya ukosefu wa chakula baada ya mvua kukosa kunyesha . Karisa […]
BAA LA NJAA LAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA MRIMA WA NDEGE KAUNTI YA KILIFI Read More »



