MAANDAMANO YA AMANI KUANDALIWA HADI KWENYE BANDARI YA MOMBASA
Mwenyekiti wa vuguvugu la First Action kaunti ya Mombasa Salim Karama amesema siku ya Jumatano wiki hii wataandaa maandamano ya amani hadi katika bandari ya Mombasa kufuatia agizo la rais William Samoei Kipchirchir Arap Ruto la kuregesha huduma za bandari kwenye bandari hiyo kutoka ile ya Naivasha. Karama amewataka wenyeji pamoja na wafanyabiashara kujitongeza kwa wingi siku […]
MAANDAMANO YA AMANI KUANDALIWA HADI KWENYE BANDARI YA MOMBASA Read More »



