Kaunti

LALAMA ZAIBULIWA KAUNTI YA KWALE KUHUSU UTEUZI WA WAWAKILISHI WA WADI

Baadhi ya wanachama wa PAA, UDA na ODM kaunti ya Kwale wanalalamikia uteuzi wa wawakilishi wa wadi katika bunge la kaunti hiyo wakisema nafasi hizo za uteuzi zimetolewa pasi na kuzingatia uwakilishi wa watu wenye uwezo maalum na wale wanaotoka katika jamiii ndogo. Wanachama wa ODM, wamesisitiza kuwa nafasi za uteuzi zilipeanwa kwa watu ambao […]

LALAMA ZAIBULIWA KAUNTI YA KWALE KUHUSU UTEUZI WA WAWAKILISHI WA WADI Read More »

MAAFISA WA POLISI TAITA TAVETA WAANZA KUPEWA USHAURI NASAHA

Maafisa wa polisi kaunti ya Taita Taveta wameanzishiwa zoezi la kupewa ushauri nasaha kutokana na visa vya msongo wa mawazo vinavyosababisha baadhi yao kujitoa uhai. Idara ya usalama kaunti hiyo kwa ushirikiano na serikali ya kaunti hiyo ya Taita Taveta wanaendeleza mpango huo wa kuwashuri maafisa wa usalama. Kulingana na afisa mkuu wa polisi eneo

MAAFISA WA POLISI TAITA TAVETA WAANZA KUPEWA USHAURI NASAHA Read More »

WENYEJI WA WATAMU WATAKIWA KUOKOTA TAKA ZA PLASTIKI KWENYE FUO ZA BAHARI

Afisa ambaye anasimamia hifadhi ya WATAMU MARINE PARK kaunti ya Kilifi Dadley Tsiganyiu amewahimiza wenyeji kulinda mazingira ya baharini kwa kusitisha utupaji ovyo wa taka kwenye fuo za bahari hindi. Akizungumza katika eneo hilo amewataka kuokota taka za plastiki zilizoko kwenye fuo za bahari na kisha kuzipeleka katika kituo cha ECO – WORLD ili zinunuliwe wapate

WENYEJI WA WATAMU WATAKIWA KUOKOTA TAKA ZA PLASTIKI KWENYE FUO ZA BAHARI Read More »