Kaunti

WENYEJI WENGI WA KAUNTI YA KILIFI WANADAIWA KUWA NA MATATIZO YA MACHO

Idadi kubwa ya wenyeji wa  kaunti ya Kilifi wanadaiwa kuwa na matatizo ya macho, hali ambayo inadaiwa kuchangiwa na maradhi ya kisukari mwilini mwao. Haya ni kwa mujibu wa msimamizi wa hospitali ya Kibinafsi ya Mephi mjini Kilifi kaunti ya Kilifi Rita Mukhongo, ambaye amesema  wengi wa wakaazi hawana ufahamu wa kuwa wanaugua maradhi ya […]

WENYEJI WENGI WA KAUNTI YA KILIFI WANADAIWA KUWA NA MATATIZO YA MACHO Read More »

VIONGOZI MBALIMBALI KAUNTI YA KWALE WAWASILISHA MAJINA YAO KUWANIA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE HILO

Huku bunge la kaunti ya Kwale likitarajiwa kuwaapisha wajumbe wa bunge hilo kesho siku ya Jumatano, tayari baadhi ya viongozi wamewasilisha majina yao kuwania nafasi ya uspika wa bunge hilo. Wakili Michael Ganzala ni miongoni mwa viongozi wanaomezea mate nafasi hiyo kumrithi Sammy Ruwa anayetetea wadhifa huo kwa mara ya tatu. Akizungumza mjini Kwale, Ganzala

VIONGOZI MBALIMBALI KAUNTI YA KWALE WAWASILISHA MAJINA YAO KUWANIA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE HILO Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA VIJANA TANA RIVER KUJIEPUSHA NA NGONO ZA KIHOLELA

Vijana wa Tana delta kaunti ya Tana River wametakiwa kujiepusha na ngono za kiholela ili kuepuka kuambukizana magonjwa ya zinaa. Daktari anayesimamia kitengo cha maradhi ya kuambukizwa kaunti ndogo ya Tana delta Daniel Mabombe amesema maambukizi ya virusi vya ukimwi yameongezeka kutokana na idadi kubwa ya vijana kushiriki ngono za kiholela. Mabombe amesema takwimu zinaonyesha

HIMIZO LATOLEWA KWA VIJANA TANA RIVER KUJIEPUSHA NA NGONO ZA KIHOLELA Read More »