WANAHARAKATI WATISHIA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI POLISI WANAOKIUKA HAKI ZA KIBINADAM MOMBASA.
Wanaharakati kaunti ya Mombasa wamenyooshea kidole cha lawama idara ya usalama kaunti hiyo, kwa madai ya kukiuka haki zao za kikatiba. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Zedekia Adika, wamelalamikia suala la maafisa wa polisi kutumia nguvu kupita kiasi, hasa kila wakati wanapo wakamata wanaharakati hao. Akizungumza inje ya kituo cha Polisi cha Central kaunti ya Mombasa, […]



