Kaunti

IDARA YA USALAMA KAUNTI YA TANA RIVER YATAKIWA KUKABILIANA NA UTUMIZI WA MIHADARATI.

Idara ya usalama katika eneo bunge la Garseni kaunti ya Tana River imetakiwa kuweka sheria ya kudhibiti uuzaji na hata unywaji wa pombe kwenye mabaa eneo hilo. Ni wito ambao umetolewa na mwenyekiti wa jamii ya Wardei eneo hilo Dahir Bille, ambaye amesema kuwa hatua ya ongezeko la sehemu za unywaji pombe, ndiyo chanzo cha […]

IDARA YA USALAMA KAUNTI YA TANA RIVER YATAKIWA KUKABILIANA NA UTUMIZI WA MIHADARATI. Read More »

VIONGOZI WA CHAMA CHA WIPER KAUNTI YA MOMBASA WAIKOSOA SERIKALI YA KITAIFA.

Viongozi wa chama cha wiper kaunti ya Mombasa wameunga mkono kuidhinishwa kwa jopo la tume ya IEBC, litakalo endeleza mchakato wa kuwateua makamishna wa tume hiyo. Wanachama hao wametetea suala la chama hicho kuchelewesha uteuzi wa makamishna wa tume ya IEBC, kutokana na hatua ya wao kuwasilisha kesi kuhusiana na uteuzi huo mahakamani. Wakiongozwa na

VIONGOZI WA CHAMA CHA WIPER KAUNTI YA MOMBASA WAIKOSOA SERIKALI YA KITAIFA. Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE YAPINGA AGIZO LA KAUNTI KUTOTOA BASARI.

Hatua ya serikali za kaunti kutoa ufadhili wa karo kwa wanafunzi ni njia mojawapo ya kuwasaidia wazazi, kufanikisha majukumu yao ya kuwasomesha wanao. Haya ni kwa mujibu wa mwanasheria mkuu kaunti ya Kwale, Salim Gombeni ambaye ametetea mpango wa serikali za kaunti kutoa ufadhili wa basari kwa wanafunzi, akisema kuwa mpango huo haupaswi kusitishwa. Akizungumza

SERIKALI YA KAUNTI YA KWALE YAPINGA AGIZO LA KAUNTI KUTOTOA BASARI. Read More »