Kaunti

WANASIASA KAUNTI YA LAMU WAANZISHA MIKAKATI YA KUWANIA NYADHIFA ZA KISIASA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2027.

Viongozi wa jamii asili za kaunti ya Lamu wametoa wito kwa walio na kura kushirikiana na kujitokeza kwa wingi, kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2027, ili kuchagua viongozi watakao wawakilisha kwenye bunge la kitaifa. Viongozi hao wa jamii za Wabajuni, Waboni na Wamijikenda, wamesema ushirikiano wao ndio utahakikisha masuala yanayowazonga yanatatuliwa. Wakiongozwa na spika wa bunge la kaunti ya Lamu, Azhar […]

WANASIASA KAUNTI YA LAMU WAANZISHA MIKAKATI YA KUWANIA NYADHIFA ZA KISIASA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2027. Read More »

IDARA YA USALAMA YAHAKIKISHIA WANANCHI WA MALINDI KAUNTI YA KILIFI USALAMA WAO.

Idara ya usalama mjini Malindi kaunti ya Kilifi, imewahakikishia wananchi wa eneo hili usalama wao, kutokana na hatua ya maafisa wa polisi kuendeleza shughuli za kushika doria, katika maeneo mbali mbali ya mji huu wa Kitalii. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, afisa mkuu wa polisi katika kitengo cha AP, Samuel Kariuki, ameelezea kuwepo

IDARA YA USALAMA YAHAKIKISHIA WANANCHI WA MALINDI KAUNTI YA KILIFI USALAMA WAO. Read More »

HALI NGUMU ZA KIUCHUMI ZA SABABISHA WANANCHI ENEO LA MALINDI KAUNTI YA KILIFI KUTOSAJIIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA

Idadi kubwa ya wakaazi wa eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi wameendelea kukabiliwa na changamoto kuu, katika kupata vitambulisho kutokana na hatua ya wao, kutakiwa kulipia stakabadhi hizo muhimu. Akithibitisha hilo afisa anayehusika na sahihi za vidole katika afisi hiyo Ruth Hasango, ametaja suala la wananchi wengi kususia shughuli za kupata huduma hizo, kusababishwa

HALI NGUMU ZA KIUCHUMI ZA SABABISHA WANANCHI ENEO LA MALINDI KAUNTI YA KILIFI KUTOSAJIIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA Read More »