MAMLAKA YA CDA ENEO LA PWANI YAZINDUA UJENZI WA VYUMBA ZAIDI VYA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MALINDI KAUNTI YA KILIFI.
Huduma za afya katika kaunti tatu za pwani zinatarajiwa kuimarika katika siku za usoni, baada ya mamlaka ya maendeleo eneo la pwani CDA, kuzindua ujenzi wa vyumba vya wagonjwa, wanaohitaji huduma maalum katika hospitali ya Malindi kaunti ya Kilifi. Akizungumza baada ya uzinduzi huo, mwenyekiti wa mamlaka hiyo Mzee Mwinyi Mzee, anasema mradi huo unaotekelezwa […]



