Kaunti

AFISI YA MWANASHERIA MKUU KAUNTI YA LAMU YAFUNGULIWA RASMI.

Niafueni kwa wakaazi wa kaunti ya Lamu wanaokabiliwa na changamoto za kutafuta huduma za afisi ya mkuu wa sheria nchini baada ya afisi hiyo kufunguliwa rasmi katika kaunti hiyo. Akizungumza kwenye hafla ya ufunguzi rasmi wa afisi hiyo, mwanasheria mkuu Shedrack Mose amesema kuwa wananchi wa kaunti ya Lamu sasa watapata fursa ya kufahamu masuala […]

AFISI YA MWANASHERIA MKUU KAUNTI YA LAMU YAFUNGULIWA RASMI. Read More »

WANAFUNZI 25 WAKAMATWA KWENYE OPARESHENI YA KUWASAKA WATOTO WALIO MITAANI KAUNTI YA TANA RIVER.

Jumla ya wanafunzi 25 katika kijiji cha Zobaki kule kaunti ya Tana River, wamekamatwa na viongozi wa idara ya usalama katika oparesheni ya kuwasaka watoto ambao, bado hawajende shuleni kufikia sasa. Kulingana na Chifu wa eneo hilo Saidi Komora, ambaye pia aliongoza opareshini hiyo kwa ushirikiano na wazee mitaa katika eneo lake, watoto waliotiwa nguvuni

WANAFUNZI 25 WAKAMATWA KWENYE OPARESHENI YA KUWASAKA WATOTO WALIO MITAANI KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »

MZOZO KATI YA KAMPUNI YA CHUMVI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI NA MAMLAKA YA MAJI NCHINI WAZUA HOFU KATI YA WANANCHI ENEO HILO.

Wito umetolewa kwa serikali kuu kuingilia kati kesi inayotishia kufungwa kwa kampuni ya chumvi katika wadi ya Gongoni eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Kulingana wananchi katika eneo hilo wakiongozwa na mwanaharakati wa kijamii Gabriel Shungu, pamoja Mwanasiasa Furaha Chengo Ngumbao, kampuni hiyo imesaidia wananchi wengi kukimu mahitaji yao na hivyo huenda jamii za

MZOZO KATI YA KAMPUNI YA CHUMVI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI NA MAMLAKA YA MAJI NCHINI WAZUA HOFU KATI YA WANANCHI ENEO HILO. Read More »