Kaunti

WATALI 15 WAHUSIKA KWENYE AJALI ENEO LA NYALI KAUNTI YA MOMBASA.

Zaidi ya watalii 15 wanauguza majeraha tofauti baada ya basi walilokuwa wameabiri kuhusika kwenye ajali katika eneo la Nyali kaunti ya Mombasa. Kulingana na walioshuhudia ajali hiyo, basi hilo lililokuwa limetoka katika eneo la lights lilipoteza mwelekeo na kugonga lori sehemu ya nyuma na kisha kugonga nguzo ya umeme. Majeruhi wamefikishwa hospitalini kwa matibabu. Polisi […]

WATALI 15 WAHUSIKA KWENYE AJALI ENEO LA NYALI KAUNTI YA MOMBASA. Read More »

WANAHABARI KAUNTI YA TAITA TAVETA WAANDAMANA DHIDI YA WAZIRI WA AFYA KAUNTI HIYO.

Wanahabari kaunti ya Taita Taveta wamefanya maandamano ya amani kupinga matamshi ya waziri wa afya wa kaunti hiyo Gifton Mkaya, wakiyataja kuwa ya vitisho, uongo na yenye njama ya kuharibu sifa ya vyombo vya habari. Wanamshutumu waziri Mkaya, kwa kudai kuwa waandishi wa habari wamekuwa wakidai pesa, ili kuangazia sekta hiyo ya afya, ambayo imezidi

WANAHABARI KAUNTI YA TAITA TAVETA WAANDAMANA DHIDI YA WAZIRI WA AFYA KAUNTI HIYO. Read More »