WAKAAZI WA KAUNTI YA KILIFI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME MASHINANI.
Kaunti ya Kilifi inatarajiwa kupata shilingi bilioni mbili za kuboresha huduma za usambazaji wa umeme, katika vijiji mbali mbali ndani ya kaunti hii. Haya ni kulingana na rais William Ruto, ambaye amesema ukosefu wa umeme wa kutosha katika eneo bunge la Magarini na kaunti ya Kilifi kwa jumla, ndiyo sababu kubwa ya ukosefu wa viwanda, […]
WAKAAZI WA KAUNTI YA KILIFI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME MASHINANI. Read More »



