Kaunti

WAKAAZI WA KAUNTI YA KILIFI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME MASHINANI.

Kaunti ya Kilifi inatarajiwa kupata shilingi bilioni mbili za kuboresha huduma za usambazaji wa umeme, katika vijiji mbali mbali ndani ya kaunti hii. Haya ni kulingana na rais William Ruto, ambaye amesema ukosefu wa umeme wa kutosha katika eneo bunge la Magarini na kaunti ya Kilifi kwa jumla, ndiyo sababu kubwa ya ukosefu wa viwanda, […]

WAKAAZI WA KAUNTI YA KILIFI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME MASHINANI. Read More »

WANAHARAKATI KAUNTI YA KWALE WALALAMIKIA ONGEZEKO LA MAGENGE YA KIUHALIFU.

Wazazi eneo la Kinango kaunti ya Kwale wametakiwa kuchunguza mienendo ya wanao mitaani, ili kuwasaidia kuepuka kujiunga na makundi ya kiuhalifu. Haya ni kwa mujibu wa mwanaharakati wa kijamii katika eneo hilo Juma Banda, ambaye amelalamikia ongezeko la idadi ya makundi ya kiuhalifu katika eneo hilo. Banda amesema kuwa hatua hiyo, imeendelea kutishia usalama wa

WANAHARAKATI KAUNTI YA KWALE WALALAMIKIA ONGEZEKO LA MAGENGE YA KIUHALIFU. Read More »