Kaunti

JAMII YA MIJIKENDA YAANZA MIKAKATI YA KUFUNZA VIJANA TAMADUNI HIYO.

Huenda visa vya mauaji ya wazee kwa tuhma ya uchawi huko Garashi eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi vikapungua kwa kiwango kikubwa, baada ya kuzinduliwa kwa kituo cha kitamaduni, kitakachotoa mafunzo ya mila na desturi za kimijikenda. Mwanzilishi wa kituo hicho Alex Katana, amefichua kuwa baadhi ya vijana wa kizazi cha sasa, wamekuwa wakitekeleza […]

JAMII YA MIJIKENDA YAANZA MIKAKATI YA KUFUNZA VIJANA TAMADUNI HIYO. Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YAONYWA DHIDI YA KUCHELEWESHA MGAO WA FEDHA KWA SHULE ZA UMMA.

Miungano ya walimu ya KUPPET na KNUT eneo la Pwani, imeitaka serikali ya Kitaifa kuharakisha shughuli za ugavi wa fedha za kufadhili masomo kwa wanufunzi wa taasisi za elimu za serikali. Wakingumza katika kaunti ya Mombasa, kwenye kongamano na walimu, viongozi hao wakiongozwa na katibu mkuu wa KUPPET kaunti ya Mombasa, Lynette Kamadi, pamoja na

SERIKALI YA KITAIFA YAONYWA DHIDI YA KUCHELEWESHA MGAO WA FEDHA KWA SHULE ZA UMMA. Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YASISITIZWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UMILIKI WA ARDHI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI.

Baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti ya Kilifi, wamemtaka rais William Ruto kutatua changamoto za uskwota katika eneo bunge la Magarini na kaunti ya Kilifi kwa jumla. Wakiongozwa na spika wa bunge la seneti Amason Kingi, wamesema kuwa idadi kubwa ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi, wameendelea kuishi kama maskwota katika ardhi zao, kutokana na

SERIKALI YA KITAIFA YASISITIZWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UMILIKI WA ARDHI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI. Read More »