JAMII YA MIJIKENDA YAANZA MIKAKATI YA KUFUNZA VIJANA TAMADUNI HIYO.
Huenda visa vya mauaji ya wazee kwa tuhma ya uchawi huko Garashi eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi vikapungua kwa kiwango kikubwa, baada ya kuzinduliwa kwa kituo cha kitamaduni, kitakachotoa mafunzo ya mila na desturi za kimijikenda. Mwanzilishi wa kituo hicho Alex Katana, amefichua kuwa baadhi ya vijana wa kizazi cha sasa, wamekuwa wakitekeleza […]
JAMII YA MIJIKENDA YAANZA MIKAKATI YA KUFUNZA VIJANA TAMADUNI HIYO. Read More »



