Kaunti

MABWENYENYE WALIONYAKUA ARDHI KATIKA FUO ZA BAHARI KAUNTI YA KWALE WAKABILIWA KISHERIA.

Waziri wa madini na uchumi wa bahari na maziwa nchini Hassan Joho, ametoa agizo la kuondolewa kwa mabwenyenye walionyakua ardhi za fuo za bahari kaunti ya Kwale, kwani walikiuka cha sheria za umiliki wa ardhi. Waziri Joho  amezitaka afisi za kamishna wa Kwale, wizara ya ardhi ,shirika la KWS  na ile ya mazingira  NEMA, kutumia […]

MABWENYENYE WALIONYAKUA ARDHI KATIKA FUO ZA BAHARI KAUNTI YA KWALE WAKABILIWA KISHERIA. Read More »

WANANCHI ENEO LA GARSENI KAUNTI YA TANA RIVER WANUFAIKA NA MPANGO WA HUDUMA MASHINANI.

Jumla ya wananchi 300 katika eneo la Mnazini eneo bunge la Garseni kaunti ya Tana River, wamenufaika na mpango wa huduma mashinani unaoendelezwa na maafisa wa kituo cha Huduma Center kaunti hiyo. Afisa mkuu wa kituo hicho eneo la Hola kaunti hiyo Jackson letangule amesema kuwa wananchi hao wamenufaika na huduma kama vile usajili wa

WANANCHI ENEO LA GARSENI KAUNTI YA TANA RIVER WANUFAIKA NA MPANGO WA HUDUMA MASHINANI. Read More »

WANANCHI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUTUMIA NJIA MBADALA KATIKA KUTATUA KESI ZA ARDHI KANDO NA MAHAKAMA.

Waziri wa Ardhi kaunti ya Kilifi, Jane Kamto amewataka wananchi kutokubali kuondolewa kwenye ardhi ambayo, wamekuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka kumi na miwili. Kwa mujibu wa waziri Kamto, kuna haja ya uchunguzi wa mizozo ya ardhi kaunti ya Kilifi kufanywa, ili kusaidia katika kuwalinda wananchi dhidi ya kudhulumiwa na mabwenyenye. Akizungumza katika wadi ya

WANANCHI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUTUMIA NJIA MBADALA KATIKA KUTATUA KESI ZA ARDHI KANDO NA MAHAKAMA. Read More »