MWANASIASA ALI MBOGO AIKASHIFU SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA.
Mwenyekiti wa bandari ya LAPSSET, Ali Mbogo amelalamikia uharibifu wa fedha za umma ambazo hutokana na ushuru, unaokusanywa na serikali ya kaunti ya Mombasa. Mbogo amedai kuwa kaunti ya Mombasa, hukusanya ushuru mkubwa zaidi na pia, hupokea mgao mkubwa sana kutoka kwa hazina ya kitaifa, ila hakuna maendeleo ambayo yameshuhudiwa. Akizungumza na waandishi wa habari, […]
MWANASIASA ALI MBOGO AIKASHIFU SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA. Read More »



