Kaunti

MWANASIASA ALI MBOGO AIKASHIFU SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA.

Mwenyekiti wa bandari ya LAPSSET, Ali Mbogo amelalamikia uharibifu wa fedha za umma ambazo hutokana na ushuru, unaokusanywa na serikali ya kaunti ya Mombasa. Mbogo amedai kuwa kaunti ya Mombasa, hukusanya ushuru mkubwa zaidi na pia, hupokea mgao mkubwa sana kutoka kwa hazina ya kitaifa, ila hakuna maendeleo ambayo yameshuhudiwa. Akizungumza na waandishi wa habari, […]

MWANASIASA ALI MBOGO AIKASHIFU SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA. Read More »

TUME YA ARDHI NCHINI YAANZA VIKAO VYA KUSIKILIZA KESI ZA ARDHI PWANI.

Tume ya kitaifa ya ardhi NLC, imeanzisha vikao vya kusikiliza maoni ya wananchi wanao kabiliwa na mizozo ya ardhi katika kaunti ya Kwale. Hatua hiyo inalenga kutoa suluhu la dhulma za kihistoria za ardhi, ambazo zimetajwa kuwa chanzo cha mizozo mingi ya ardhi kwa wananchi wa Kwale. Mwenyekiti wa tume hio Profesa James Tuitoek, amesema

TUME YA ARDHI NCHINI YAANZA VIKAO VYA KUSIKILIZA KESI ZA ARDHI PWANI. Read More »

VIWANGO VYA ELIMU VYA DORORA ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI.

Viwango vya elimu katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi vimeripotiwa kudoroa mno, kutokana na hali ya ukame inayoshuhudiwa eneo hilo na kusababisha maisha kuwa magumu, kutokana kuzoroteka kwa kiuchumi. Kulingana na chifu wa eneo la Marafa, Johnson Mlewa Karena, idadi ya wasomi katika eneo hilo ni kidogo mno, hali ambayo anasema imesababishwa na

VIWANGO VYA ELIMU VYA DORORA ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI. Read More »