Kaunti

WANAFUNZI WA CHUO CHA BANDARI KAUNTI YA MOMBASA WAANDAMANA.

Wanafunzi wa chuo cha mafunzo ya masuala ya ubaharia kaunti ya Mombasa, wamefanya maandamano kupinga utendakazi duni wa usimamizi wa shule hiyo. Kulingana na wanafunzi hao, baadhi ya wahadhiri katika taasisi hiyo wamekuwa wakisusia shughuli za kuwafunza kwa madai ya kutolipwa mishahara hao. Wakiongozwa na Dancan Odongo na Salim Tsuma, wamesema kuwa watakuwa wakiandamana kila […]

WANAFUNZI WA CHUO CHA BANDARI KAUNTI YA MOMBASA WAANDAMANA. Read More »

SERIKALI ZA KAUNTI ZAATHIRIKA NA KUCHELEWESHWA MGAO FEDHA KUTOKA HAZINA YA KITAIFA.

Maandamano ya kizazi cha Gen Z, yaliyoshuhudiwa humu nchini mwaka jana 2024, yalichangia pakubwa kwa baadhi ya serikali za kaunti, kushindwa kufanya maendeleo, kama ilivyosema ripoti ya mkaguzi wa bajeti Magaret Nyakang’o . Kulingama na Naibu gavana wa kaunti ya Lamu, Mbarak Bahjaj serikali ya kitaifa ilichelewa kusambaza fedha kwa serikali za kaunti, ikiwemo ile

SERIKALI ZA KAUNTI ZAATHIRIKA NA KUCHELEWESHWA MGAO FEDHA KUTOKA HAZINA YA KITAIFA. Read More »

WIZARA YA ELIMU YAWEKA JITIHADA ZA KUBORESHA MIUNDO MSINGI YA ELIMU NCHINI.

Wizara ya Elimu itajenga maabara 1,600 kote nchini, ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wa gredi ya 10, wanasomea taaluma wanazo hitaji kwa mujibu wa muongozo wa mtaala wa CBC mwaka 2026. Kulingana na katibu kwenye wizara ya elimu nchini Bellio Kipsang, hatua hiyo itasaidia katika kuhakikisha kuwa, kila mwanafunzi anapata fursa ya kusomea taaluma za masuala

WIZARA YA ELIMU YAWEKA JITIHADA ZA KUBORESHA MIUNDO MSINGI YA ELIMU NCHINI. Read More »